
kabali laivi laivi Bunge la Ukrain.

South Korea nako usipime,yaani ni full kucheza bai shoo(watoto wa zamani wanaukumbuka huo mchezo).

Russia nako ndio kama hivi.

Italia nako ni kuzibana midomo kwa kwenda mbele,no kupiga porojo.

Taiwan nako wabunge wao hawako nyuma.

Bunge la nchini Mexico nako ni mwendo wa za ukweli ukweli tu,tena zile za juu juu.

Bunge la Uturuki nako ni mambo ndio kama haya.

mwendo wa kabali tu Bunge la Ukrine.

Bunge la Ufaransa.

Somalia nako siku kulipowaka Moto.

wenye raha zao hao,hawa ni Wabunge wa Malaysia,yaani hawa ni kama wale wa pale mjengoni ambao hii ni kama moja wapo ya sifa yao ya kukaa katika hii mijengo.
Mithupu Mdogo!
ReplyDeletewewe ni kiboko. Yaani usiku huu nimecheka mpaka usingizi umepotea. Yaani natamani sana kama Mheshimiwa kiongozi wangu na spika wa viwangu na mwendo Mheshimiwa samwel sitta angeipata hii. ama katibu wa bunge Dk Thomas Kashilila aka Kashi. sipati picha siku likiwaka hapa kwetu hata kwa mfano wa " urusi" patakuwaje pale mjengoni. Pata picha Mh Lowasa Angemfanya nini Mh Mwakyembe ama Mh Phili marmo angemrukiaje Mh slaa?Pasinge tosha.
Mkuu umenikumbusha mbali sana, maana mimi mara nyingi sana huwa nafuatilia na kusikiliza Bunge la Italy kwenye TV, maana napenda sana kusikiliza vipindi vya Bunge. Sasa hii ya Italia niliiona live kabisa wakikabana hao wabunge na matusi makubwa sana, yaani ikawa ni aibu sana kwa Taifa, hiyo fujo ilichukua mda mrefu mpaka kutulia. Nimecheka sana, asante sana kwa picha hizi hasa hiyo ya italy.
ReplyDeleteChibi.
Ha ha ha ah ...mkuu hao wa Malysia nafikiri walikuwa wanasali kabla ya kuanza kikao...hahaha ni mtizamo tu
ReplyDeletehapo malaysia wamalay ndio zao kupiga mbonji hapo wanasubiri lunch time, lkn tofauti ni kwamba nchi imeendelea sana na 2020 vision yao itakuwa ni developed country
ReplyDeletewe mithooop dogo sema umecopy wapi hacha hio.
ReplyDeleteAsante michuzi mdogo.
ReplyDeleteNamuomba huyo anonymous wa pili anisaidie niweze kuliona live hilo bunge la Italy pengine hata on line. animwagie link tafadhali
Hehehehe yaani Othman ujue utulivu kwako ni ZERO yaani nimecheka mpaka basi hapa , Eti za baishoo, juu kwa juu, hawa watu wako siriaz na kazi zao ndo maana unaona hadi ngumi zinaruka coz mtu anakua ana uchungu wa ukweli, ila viongozi wetu sisi ili mradi account yake full mahela wala huskii kubisha kitu, utaona nguzi zitaruka wakiambiwa marupurupu yanatolewa kwenye mishahara yao ndo zitaanza za mbavu na chembe.
ReplyDeleteMtg