
Wafanyakzi wa British Council waliamuliwa kutoka nje ya jengo ambapo mara baada ya kuarifiwa kuwa Kuna tishio la kulipuka kwa moto katika jengo la ofisi hizo jijini Dar es salaam asubuhi hii,mpaka sasa wafanyakazi wa tasisi hiyo ya Uingereza wametolewa nje ya ofisi ili kuchukua tahadhari ya usalama wao kama moto utaanza kuwaka, wanausalama wa kikosi cha kuzima moto cha kampuni binafsi ya ulizi ya Ultimate Security tayari wako hapo wakikagua huku na kule ili kubaini kama ni wapi kwenye hitilafu, king'ola kimekuwa kikilia kwa muda kitu kinachoashiria kuwa kuna tishio la moto katika jengo hilo.picha na Full Shangwe
No comments:
Post a Comment