
Msela akipiga sop sop ndinga ya wana Jangwani a.k.a Yanga nje ya klabu hiyo iliyopo mtaa wa Jangwani na Twiga.timu ya Yanga leo inakipiga na timu ya African Lyon katika uwanja wa Uhuru a.k.a shambani kwa bibi ikiwa ni mwanzo wa mzunguko wa pili wa ligi kuu Tanzania bara.
No comments:
Post a Comment