Mtaa Kwa Mtaa leo imeona iwaletee wadau wake wapendwa kashemsha bongo haka,ambako kanataka kumtambua mtu huyu aliopo hapo pichani.Je wamtambua mtu huyu???
Snoop Dogg
ReplyDeleteMtage
we michudhi athumani bwana kwa viswali simpo,
ReplyDeletehuyu ni ze dogi faza ei kei ei - snupi dugi dugi
Sinupi Mbwa Mbwa. Mdau Mwanarumango.
ReplyDeleteHuyo anaitwa Kelvin Brodas aka Snoop Doggy Dog
ReplyDeleteHuyo ni Athumani nanihii jina la mbele limenitoka..!
ReplyDeleteMdau Haiti!
Tupe mji bwana ila sura si ngeni sana hii nahisi atakuwa mjomba wangu huyu!!!!
ReplyDeleteMrembo Say
hoyo mikael wa jordan!!!!! kaka zee la kikapu.
ReplyDeleteHuyu nimfalme wa soka duniani PELE
ReplyDeleteMDAU
KISIJU PWANI
JK akiwa kijana kabla ya kuanza blah blah..
ReplyDeletehuyu jamaa namfahamu kabisaaaa.... tena nilichezaga nae sana enzi hizo.ila jina lake ndio limentoka kidogo.
ReplyDelete