HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, December 27, 2009

Nani Ataondoka Na Kitika Cha Tasker Leo??

kikosi cha Vijana wa Jangwani na Twiga(Yanga) kikiwa katika picha ya pamoja.
Kikosi ya vijana wa Kikenya (Sofapaka) kikiwa katika picha ya pamoja.
leo tarehe 27/12/2009 ndio fainali ya mashindano ya kombe la Tasker yatayofanyoka kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar,ambapo miamba wawili watamenyana leo katika wanja hilo la taifa,timu zitakazomenyana leo pale Taifa ni Yanga ya hapa hapa Nchini na Sofapaka toka kule Nchini Kenya.sasa nani wa kuibuka kidedea leo pale Taifa??

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad