HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, November 29, 2009

Watoto Wa Mitaani

dogo akiwa kajilaza pembezoni mwa barabara ya Morogoro,jana mchana
na huyu ndio yuko job kwa sasa maana ilaelekea alikuwa alosto sana
mwingine ndio muongozaji katika kuomba,hawa wote ni watoto wenye umri kati ya miaka 6-10 ambapo kwa kawaida ni umri unaotakiwa wawepo mashuleni,lakini wao ndioo kwanza wako lodini kusaka mahela.hii imekaaje wandugu??

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad