HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, November 16, 2009

Wabongo India Waachabanga Wa Ethiopia 3-1

Mdau Saidy (kulia) akimpa pole Nyanda mwenzake wa timu pinzani baada ya kuumia wakati wa gemu
maandalizi kabla ya gemu
kama kawaida maandali ndo yamekwiva. hizi pics tulipiga friendly match na wenzetu wa addis ababa {ethiopia] tumewabonda 3 kwa 1."KAMA KAWA TUNAKAMUA HADI NDOO TUTUE NAYO BONGO"....

MDAU SAIDY
BONGO FC
PUNE.INDIA

AMINIA MZEE WA LIBENEKE

1 comment:

  1. jitahidini basi hata kikombe kimoja........... inaonyesha mwaka huu timu mnayo kweliiiiiiiiii.

    ReplyDelete

Post Bottom Ad