HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, November 8, 2009

Sijui Ni Lini Tutaachana Na Hadha Hii??

maana mtu unakaa kwenye foleni weee mpaka unajikuta hata ukumbuku kuwa uliposimama si mahala pako bali na njia ya chombo kingine cha moto ambacho ukikigonga unaonekana wewe ndie mwenye kamosa.Duuh!!! hii hadha sijui ni lini itamalizima hapa kwetu jamani.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad