HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, November 27, 2009

Msimu Wa Mananasi Umeshaanza

msimu wa mananasi umeshaanza na sasa hivi kila kona unayopita hapa jijini hukosi kukutana na mmoja wa wauzaji wa matunda haya,ila jamaa wanayauza bei ghali kweli sasa hivi,sijui kwa sababu ni mwanzo wa msimu??

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad