HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, November 2, 2009

Fiesta One Love Strongest Man in Dar Usipime

Mratibu wa shindano la The strongest man in dar,Ephrahim Kibonde akionyesha umwamba wake na yeye.
msaidizi wa The Strongest Man in dar ambaye pia ni mnyanyua vyuma vizito atambulikaye kwa jina la Names akifafanua jambo wa washiriki kabla ya kuanza shindano.
"oooohhhh"
wadau mbali mbali,wakitafuta taswirazz za tukio la The Strongest Man in Dar
mbio za mita mia
mbio za mita mia huku wakiwa wamebeba viroba vya uzito wa kilo 25
"ooohh jamaa kashindwa kabisa kumaliza ngwe,cheki cheki cheki anavyokula samasoti,duh shughuli zingine noma kweli!!"
mbio za mikokoteni kwa mita mia moja

1 comment:

Post Bottom Ad