Watoto wadogo wenye umri wa kwenda shule huko Mkoani Mbeya,walikutwa wakigonga mawe kwa ajili ya kupata kokoto walizokuwa wakiziuza sh.1000 kwa debe moja.kwa kweli hii hali ni ya kusikitisha sana katika taifa letu hili.Picha na Michael Jamson
Tanzania imenunua jengo jipya la UBALOZI Washington DC,USA.
ReplyDeleteYani ! Basitu
ReplyDeletetanzania ina madini ya kila aina wadogo zetu wanataabika
ReplyDeleteDuh hakuna anaewajali huruma tupu
ReplyDelete