HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, October 29, 2009

Rais Kikwete Ampatia Mlemavu Bajaj

Rais Jakaya Kikwete akikabidhi usafiri aina ya Bajaji kwa mwanamke ambaye ni mlemavu anaefahamika kwa jina la Sara Mageni Sanga aliyekaa chini katika kijiji cha Lupalilo,Wilayani Makete,mkoa wa Iringa jana jioni.Pembeni ya Rais kwa upande wa kulia ni mkuu wa mkoa wa Iringa Bwana Mohamed Abdulaziz

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad