

hiki ni kijiji cha SUNDHAMN´kilicho pembeni mwa bahari ya nanihii,kijiji hiki ni kati ya vijiji maarufu sana katika nchi za Scundnavian na wakazi wa kijiji hiki wengi ni wavuvi kama wa kule Kaole Mbegani na sehem nyengine Tanzania.
Mdau Dunda,
Mzee wa Mtaa Kwa Mtaa Mbele Mbele Huku.
No comments:
Post a Comment