HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, September 19, 2009

Wenye Shabaha Zao Za Ulengaji!!

jamaa mmoja ambaye jina lake halikuweza patikana kwa haraka aliekuwa akiendesha gari aina toyota mark II lenye nambari za usajili T 169 ALJ,alipoteza muelekeo barabarani na kuenda kuuvaa mti uliokuwa pembezoni mwa barabara ya Mtongani,mbezi beach.chanzo cha kuuingia mti huo hakikufahamika.

1 comment:

Post Bottom Ad