HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, September 20, 2009

Swala Ya Eid

waumini wakiwa katika safu zilizonyooka kabisa kabla ya swala ya Eid el Fitr katika msikiti wa Makonde uliopo mtaa wa Nyamwezi na Amani,Kariakoo asubuhi ya leo
baada ya Swala ya Eid el Fitr katika msikiti wa Makonde,nilipata picha ya pamoja na Maustaadh hawa,toka shoto ni Ustaadh Said,Ustaadh Issa,Ustaadh Mie (mwenye kanzu ya pekee katika picha hii),Maalim Ramadhan Ndassi,Maalim Challa pamoja na Ustaadh Mohamed.

3 comments:

Post Bottom Ad