HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, September 30, 2009

Njia Tatu Kama Kawa!!

sijui sasa hivi ndio imeruhusiwa rasmi???maana hapa foleni hakuna lakini ndinga zinajinyoosha kama kawa njia ya tatu.hapa ni jangwani ukitokea magomeni mapipa.

1 comment:

  1. Kutafuta ajali tuu sasa kam hakuna foleni inakuwaje uendeshe upande wio wako?

    ReplyDelete

Post Bottom Ad