HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, September 18, 2009

ngoma inapobuma halafu abiria hawataki kutoa msaada

hapa hii ngoma ilikuwa imebuma (yaani imemalizika mafuta katikati ya safari) huku abiria waliokuwemo katika gari hiyo waligoma kuteremka kutoa msaada wa kulifikisha gari hiyo katika kituo cha mafuta,hivyo ilimbidi kondakta wa gari hiyoo pamoja na shanta wake kuteremka na kuanza kulipiga kibega.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad