HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, September 10, 2009

Lori Laparamia Nyumba Na Kuua Mtu Mmoja

Lori la mizingo ambalo inasemekana ni mali ya KLM Trasport,lenye namba za usajili T 934 ASM likiwa limepotea njia na kuparamia nyumba na kusababisha kupoteza maisha kwa mtu mmoja aliyetambuliwa kwa jina moja la Ndete mkazi wa Kimara Mwisho jijini Dar.Hii ni mara ya tano katika kipindi cha miaka miwili kwa malori kama haya kuparamia nyumba na kusababisha vifo vya watu kadhaa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad