HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, September 16, 2009

Lori Lagonga Treni!!

lori la kubeba mchanga likiwa limeharibika vibaya vibaya mara baada ya kuigonga treni ya mizigo katika eneo la Makulu mjini Dodoma jana,ajali hiyo ilitokea baada ya lori hilo kukatiza reli katika sehemu ambayo haina kivuko. Hakuna aliyeumia katika ajali hiyo.

1 comment:

  1. MADELEVA WA BONGO WANASHINDANA KUENDESHA UMBALI MREFU WAKIWA WAMEFUMBA MACHO.

    ReplyDelete

Post Bottom Ad