wadau hili ndio Chocho la kuelekea pande za uswazini kwetu,hivyo karibuni sana kwa atakaetaka kujua maskani kwa mzee wa mtaa kwa mtaa.
hii kali ninaogopa kukabwa na kubakwa ukimwi njenje huko wakikukuta katikati utafanyaje waokoaji watapita wapi kukusaidia.bora wafunge kabisa.
ReplyDelete