HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, August 27, 2009

Ze Fishizzz!!

duniani kuna vitu vya ajabuuu!!!! sasa unaambiwa eti huyu ni samaki.ujua ni Samaki gani?

6 comments:

  1. Ujue kuna viumbe vingi sana vya ajabu baharini. Bila shaka huyo samaki aliuzwa kwa bei nzuri sana

    Mama M.

    ReplyDelete
  2. kwa kingereza anaitwa smalltooth sawfish.

    Calvin

    ReplyDelete
  3. hI VI HUYU SIYE SAMAKI ALIYEKUWA KWENYE SENTI TANO YA TANZANIA?

    ReplyDelete
  4. duu mdau hapo juu una kukumbuku nzuri ajab ,huyu samaki ndohasa yule katika senti tano

    ReplyDelete
  5. huyu ni jamii ya PAPA,hao jamaa wapo kabila nyingi kichizi,duuh tizama domo lile ka msumeno ha ha haaa.

    ReplyDelete

Post Bottom Ad