hawa jamaa nimewakuta leo mtaa wa Swahili,Kariakoo wakigombania viatu.kitu ambacho kilishangaza kila mtu aliekua akipita hapo.sasa sijui hivyo viatu vilikuwa vinakitu gani??halafu unaweza kuta wote hao wako kwenye swaum!!
Sunday, August 23, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
SASA KWA NINI UJAMWAGA DAWA WAACHE KUGOMBNA WAUENZI MWEZI HUU MTUKUFU
ReplyDeleteHa haa haa... eti wako kwenye swaumu.
ReplyDeleteYawezekana hivyo viatu havina mwenyewe wameviokota ndio maana wanavigombea.
Mama M.