Mgeni rasmi katika shughuli hii alikuwa Mheshimiwa Naibu Waziri wa ushirikiano Afrika mashariki,MOHAMED ABOUD.Ambae aliwakabidhi washindi zawadi zao,namba moja alipewa fedha taslim sh,laki sita,huku aliechukua nafasi ya pili akiondoka na kitita cha laki nne, na mshindi wa tatu sh, laki tatu, namba nne na tano walipewa sh laki moja na nusu.warembo wote walipewa zawadi zao ispokuwa mrembo namba tano Emakulata Alphonce kutoka kagera alipatwa na mshtuko na kupoteza faham aliposomwa na jaji mkuu kwamba ameshika namba tano,hivyo hakuweza kufika mbele kwani alikuwa amepelekwa hosipitali ya rufaa bugando,tunamshukuru mungu kwani kwa sasa anaendelea vizuri.
Kwa picha zaidi zama katika wanja la Da Flora kwa kubofya hiyo link http://florasalon.blogspot.com.
Kwa picha zaidi zama katika wanja la Da Flora kwa kubofya hiyo link http://florasalon.blogspot.com.
No comments:
Post a Comment