HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, August 25, 2009

Dereva Wa Gari Hii Ni Nahodha Wa Meli Nini?

maana inaonekana alivyoona maji tu akafikiri yuko baharini na akaamua kulizamisha gari bila kujua kuwa huo ni mtaro tu.cheki wananchi walivyoizunguka gari hiyo,maana hawaamini kitu wanachokiona.picha na Sumo Blog.

2 comments:

  1. Hii kali maana uwezi kuamini dereva mlevi au

    ReplyDelete
  2. kwa daladala drivers wa Dar es salaam hata sishangai. Wako very rough.

    mama M

    ReplyDelete

Post Bottom Ad