HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, August 16, 2009

KIWANDA CHA KUTENGEZA MAFUTA YA KUPIKIA CHAWAKA MOTO

askari wa kiosi cha zima moto cha faya wakijaribu kuuzima moto huo ambao ulipamba kila mahala kwenye kiwanda hicho.
hekaheka wakati karatasi, magari na mali zingine za kiwanda cha uchapaji na kutengeneza maboksi cha Jumbo barabara ya Nyerere Road jijini Dar vikiwaka moto jioni hii. Hakuna aliyeumia na chanzo hakijafahamika na faya walifanikiwa kuuzima moto huo mkubwa kabla ya kusambaa jirani
moshi ukifuka juu ya majengo ya Murzah Oil mills ambamo kiwanda cha Jumbo kimo


HABARI ZILIZOINGIA HIVI PUNDE TOKA PANDE ZA KIPAWA,ZINADATISHA KWAMBA KIWANDA CHA KUTENGEZA MAFUTA YA KULA KILICHOPO MAENEO YA KIPAWA (KARIBU NA UWANJA WA NDEGE WA J.K. NYERERE),KINATEKETEA KWA MOTO.MOTO HUO AMBAO INASEMEKANA UMEANZA KUWAKA KUANZIA SAA KUMI JIONI HII NA KUANZA KUSAMBAA KATIKA MAENEO MBALI MBALI YA KIWANDA HICHO,CHANZO CHA MOTO HUO BADO HAKIJAFAHAMIKA MPAKA SASA NA JUHUDI ZA KUZIMA MOTO HUO ZINAENDELEA TOKA KIKOSI CHA KUZIMA MOTO CHA FAYA.TUTAENDELEA KUJUZANA ZAIDI BAADAE KIDOGO.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad