pinizz kama kawa,hapa ni maeneo ya Ubungo Riverside.hili pinizz ni kutokana na uongozaji wa kagari katika makutano ya barabara ya Mandera,Morogoro road na ile ya Sam Nujoma Road ya kuelekea mwenge.hii ni wikiendi ngoma iko hivi na siku za kazi ndio usipime maana ngoma huwaga inaanziaga njia panda mabibo hostel.yaani hadi raha
Sunday, August 2, 2009

pinizz kama kawa,hapa ni maeneo ya Ubungo Riverside.hili pinizz ni kutokana na uongozaji wa kagari katika makutano ya barabara ya Mandera,Morogoro road na ile ya Sam Nujoma Road ya kuelekea mwenge.hii ni wikiendi ngoma iko hivi na siku za kazi ndio usipime maana ngoma huwaga inaanziaga njia panda mabibo hostel.yaani hadi raha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment