HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 28, 2009

MELI YAWAKA MOTO BANDALINI JIJINI DAR

ngoma ikiwa imepamba moto ile mbaya
wadau wa Habari kutoka vyombo mbalimbali vya Habari,wakiwa katika eneo la tukio kila mtu alikuwa hataki kuhadithiwa juu ya ajali hiyo ya meli iliyowaka moto asubuhi hii katika bandali ya Dar.kivuko cha Mv.Alina kikiwa kimebeba gari la kikosi cha zima moto cha Faya pamoja na baadhi ya wanahabari waliofika eneo la tukio kwa kukava stori.boti za zima moto za majini zikijaribu kuikoa meli ya Mv.Pemba iliyowaka moto asubihi hii katika bandari ya Dar
kusema mungu upenzi wa kweli,wabongo tunamoyo mzuri sana wa kushuhudia matukio maana hata kama litakuwa ni tukio la nini basi huwezi kosa kuona watu wakiwa wamejazana kama waonekanavyo hapa pichani walipokutwa na kamera ya MTAA KWA MTAA katika tukio la kuwaka moto kwa meli katika bandali ya jijini Dar.

MELI YA MIZIGO YA 'MV PEMBA' AMBAYO IMESHIKA MOTO MUDA MCHACHE ULIOPITA KATIKA BANDARI YA JIJI DAR. MELI HIYO ILIANZA KUSHIKA MOTO WAKATI MABAHARIA WAPATAO 20 WA MELI HIYO WAKIWA KATIKA KUIFANYIA MATENGENEZO YA KAWAIDA YA MELI HIYO KABLA YA KUANZA SAFARI ZAKE ZA ZANZIBAR NA PEMBA IKIWA NA SHEHENA YA VYAKULA, MAFUTA NA VITU VINGINE. HAKUNA MTU ALIYEPATWA NA MADHARA KATIKA AJALI HIYO.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad