HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 28, 2008

Soko La Ndizi

Ndizi zikiwa zinaandaliwa na wananchi kwa ajili ya kuuza kwa walanguzi katika Maeneo ya Lugombo tukuyu mkoani Mbeya juzi, mkungu Mmoja huuzwa kati ya sh 1,500 na 3,000.
Picha hii imepigwa na kaka Mpoki Bukuku aliyoko Mbeya kwa sasa.

1 comment:

Post Bottom Ad