oooh jr...niambie huyu jamaa wa mitaa gani nimuibukieamenirusha stim,so nice lips like someone to be kissed oooh!...ahahah
huyo ndio hendsamu bora duniani,vp unataka contact zake?
Huyu ni masoud wa Buguruni nini?, hahaha eti Remmy Ongala alisema yeye ni mbaya kuliko huyu lol, na akaongeza kwa kusema jamaa ana ukoma ndo maana sura ina mibonyeo....
huyo jamaa ukiambiwa kuwa kwao ndio mrembo utaamini Nchimbi Jr?
Wewe Jr acha utundu. Ina maana huyu ndio handsome nyumbani kwao? Siamini, lete picha za nduguze tuzione... haha haaMama
oooh jr...niambie huyu jamaa wa mitaa gani nimuibukie
ReplyDeleteamenirusha stim,so nice lips like someone to be kissed oooh!...ahahah
huyo ndio hendsamu bora duniani,vp unataka contact zake?
ReplyDeleteHuyu ni masoud wa Buguruni nini?, hahaha eti Remmy Ongala alisema yeye ni mbaya kuliko huyu lol, na akaongeza kwa kusema jamaa ana ukoma ndo maana sura ina mibonyeo....
ReplyDeletehuyo jamaa ukiambiwa kuwa kwao ndio mrembo utaamini Nchimbi Jr?
ReplyDeleteWewe Jr acha utundu. Ina maana huyu ndio handsome nyumbani kwao? Siamini, lete picha za nduguze tuzione... haha haa
ReplyDeleteMama