
maafande wa kwa mzee joji nanihii kule Marekani wanaonekana wakitembea kwa ukakamavu wa hali juu katika gwaride lao huko nanihii nchini Maremani,na wakati huohuo tunamuona mpiga picha wa shirika moja la habari akichukua picha kwa ustadi wa hali ya juu na kwa staili yakipekee.picha kutoka kwa mdau David anepatikana pale kijiji cha jirani cha
fotobaraza.ningi.com kwenda kwake zama hapa
hapa
No comments:
Post a Comment