HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, February 2, 2008

Baada Ya Kubishana Saana

mambo baadae yakawa hivi na kusababisha kujeruhiwa kwa watu wa tatu na kukimbizwa hospital kwa matibabu. hivi nyumba inapotaka kubomolewa si inatakiwa kuwekwa alama ya X kisha baada ya muda ndio ibomolewe?hii imewekwa siku hiyo hiyo na kubomolewa wakati huo huo.huu ni uungwana kweli?


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad