
mke wa rais mstaafu wa south africa Graca Machel shoto,katibu mkuu mstaafu wa umoja wa mataifa bw Koffi Annan,kati na rais mstaafu wa Tanzania bw Benjamin Mkapa.bado wanawakati mgumu wa kuwaweka sawa rais Mwai Kibaki na kiongozi wa chama cha upinzani cha ODM ndugu Raila Odinga.
No comments:
Post a Comment