HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, January 26, 2008

Site

kutokana na ufinyu wa sehemu za kuegesha magari hapa taun,kunasababisha hawa jamaa wa site waweze kujipatia mshiko kila wanapokuta gari ambalo limeegeshwa ndivyo sivyo kama hivi.heri yangu mimi ninatumia bajaji ya kizenz mambo kama haya nayasikia kwenye bomba

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad