HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, January 10, 2008

Shampen

hii ilikuwa ni siku niliyopewa dhamana ya kufungua hiki kinywaji kwa ajilia ya maharusi,nasikia ya kwamba kile kifuniko kinaporu kitakaye mdondokea na yeye yuko jirani kuukimbia ukapera ni kweli?tusaidiane kwa anayefahamu masela wangu

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad