.jpg)
hii nimeifuma leo leo mtaa wa india street,pale jamaa alipo paki ndinga yake na aliporudi akakuta ishapigwa pin na site,alichokifanya ni kuingia ndani ya mchuma wake na kulipiga stata kisha kutia gia kulilazimisha kuondoka mpaka ile cheni ikakatika na kuondoka zake.imetuli hiyoooo
No comments:
Post a Comment