HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, November 5, 2007

Kupima Uzito Bongo

huyu msela alitaka kumpa makonde jamaa mwenye mzani mara baada ya kugundua mzani wake ni kimeo,maana alipima karibu mara tatu na kukuta eti ana kilo 45,hivi mwili huu ni wa uzito huo kweliiii?

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad