kutokana na kuwa na longolongo na nyomi la watu katika lango la araivo, ilibidi wana usalama wampitishe richard kwenye lango la dipacha ili kukwepa lile longolongo,lakini walipomuona tu ilikuwa ni taabu bin shughuli mahala hapo.picha kwa hisani ya mkuu issamichuzi
No comments:
Post a Comment