HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, November 21, 2007

Dafuzz

hapo awali nishawahi kusikia kuwa eti ukipendelea sana kunywa maji ya madafu eti unapata busha,hili swala ni la kweli ndugu zangu?maana sie wa bara hatuyafahamu haya matunda.

1 comment:

  1. sidhani kama hilo swala ni la kweli maana ndio nasikia kutoka kwako

    ReplyDelete

Post Bottom Ad