HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, October 26, 2007

Heshima Za Mwisho

spika wa bunge mstaafu mh.pm na spika wa sasa mh.ss wakitoka kutoa heshima zao za mwisho
rais mstaafu wa awamu ya pili mh. ahm na mkewe wakitoa heshima zao

mama maria nyerere nae alikuwepo kutoa heshima
rais mstaafu awamu ya tatu mh. bwm na mkewe wakitoa heshima zao mbele ya jeneza lililobeba mwili wa marehemu salome mbatia.mungu ailaze roho ya yake pema peponi.ameen
picha kwa hisani ya blog ya mkuu issamichuzi





No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad