spika wa bunge mstaafu mh.pm na spika wa sasa mh.ss wakitoka kutoa heshima zao za mwisho
rais mstaafu wa awamu ya pili mh. ahm na mkewe wakitoa heshima zao
mama maria nyerere nae alikuwepo kutoa heshima
rais mstaafu awamu ya tatu mh. bwm na mkewe wakitoa heshima zao mbele ya jeneza lililobeba mwili wa marehemu salome mbatia.mungu ailaze roho ya yake pema peponi.ameenpicha kwa hisani ya blog ya mkuu issamichuzi

No comments:
Post a Comment