Dkt Nchimbi, alikuwa safarini kuelekea Mkoa wa Simiyu kwa ziara ya kikazi ambako anatarajiwa kushiriki kongamano la Chama Cha Wafugaji Tanzania (CCWT).
Akiwa uwanjani hapo, Balozi Nchimbi pia alikutana na kusalimiana na Mama Janeth Magufuli, mjane wa hayati Rais John Pombe Magufuli.





No comments:
Post a Comment