HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, March 10, 2025

HAKI YA WATUMIAJI WA HUDUMA KUADHIMISHWA MACHI 15

Mwenyekiti wa Jukwaa la Watumiaji Tanzania (TCF) Daud Daud akizungumza kuhusiana na maadhimisho ya Siku ya Haki ya Watumiaji Duniani itayofanyika Machi 15 mkoani Morogoro.
Katibu Mtendaji wa TCRA CCC Mary Msuya akitoa maelezo kuhusiana na umuhimu wa Mawasiliano kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Haki ya Watumiaji Duniani,jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad