Spika Mteule wa Bunge, Job Ndugai akipokea katiba na kanuni kutoka kwa Katibu wa Bunge, Stephen Kagaigai mara baada ya kuapa kuwa Spika wa Bunge la 12 Jijini Dodoma. Kulia ni Mwenyekiti wa Bunge wa muda, Mhe. William Lukuvi. (PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Tuesday, November 10, 2020
JOB NDUGAI ACHAGULIWA KUWA SPIKA WA BUNGE LA 12 JIJINI DODOMA
Spika Mteule wa Bunge, Job Ndugai akipokea katiba na kanuni kutoka kwa Katibu wa Bunge, Stephen Kagaigai mara baada ya kuapa kuwa Spika wa Bunge la 12 Jijini Dodoma. Kulia ni Mwenyekiti wa Bunge wa muda, Mhe. William Lukuvi. (PICHA NA OFISI YA BUNGE)



No comments:
Post a Comment