Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitembelea banda la maonesho la
Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) yanayoenda
sambamba na Kongamano la uwekezaji katika Mkoa wa Dodoma yanayofanyika
katika viwanja vya ukumbi wa CCM ujulikanao kama CCM Convention
Center, anayetoa maelezo kwa Waziri Mkuu ni mtaalam wa mambo ya
Jiolojia Ambaliche Tamambele kutoka taasisi ya Jiolojia.
Moja ya jukumu la Taasi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania ni kukusanya, kuchambua, kutafasiri na kutunza takwimu na taarifa mbalimba za jiosayansi kwa maana ya Jiolojia, Jiokemia , na Jiofizikia pamoja na upatikanaji wa madini nchini.
Moja ya jukumu la Taasi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania ni kukusanya, kuchambua, kutafasiri na kutunza takwimu na taarifa mbalimba za jiosayansi kwa maana ya Jiolojia, Jiokemia , na Jiofizikia pamoja na upatikanaji wa madini nchini.
No comments:
Post a Comment