HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, September 21, 2018

MAANDAMANO YA KUMBUKIZI YA KIFO CHA IMAM HUSSEIN YAFANA

 Sheikh Mkuu  wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salim (wa pili kushoto) akiongoza maandamano ya kumbukizi ya kifo cha Imam Hussein Ally wa dhehebu la kiislamu la Shia, jiini Dar es Salaam juzi jioni. Kushoto kwake ni  balozi wa Iran nchini, Mosa Farhang na anayefuatia ni Katibu wa kamati ya Amani Mkoa wa Dar es Salaam, Padri John Solomon.
Waumini wa dini ya kiislamu wa dhehebu la Shia wakiwa katika maandamano ya kumbukizi ya kifo cha Imam Hussein Ally, jiini Dar es Salaam jana

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad