Vikosi vya Timu za Vijiji vya Kidomole pamoja na Vikawe vikiwa katika picha ya pamoja na Mdhamini wao, Tippo Athuman a.k.a Zizzou (kati) kabla ya mtanange wao ulipigwa jana jioni katika uwanja wa Shule ya Msingi, Kidomole, Bagamoyo mkoani Pwani. Mchezo huo uliokuwa na mvuto wa waina yake, ulikuwa na leongo la kuunganisha undugu baina ya wanakijiji hao. Mchezo huo ulimalizika kwa Timu ya Kidomole kutoka kifua mbele kwa ushindi mwembamba wa bao 1-0.
Mdhamini wa Mchezo wa kirafiki kati ya Timu ya Kidomole FC na Vikawe FC, Tippo Athuman a.k.a Zizzou akitoa mawaidha kwa wachezaji wa timu zote mbili, kabla kabla ya mtanange wao ulipigwa jana jioni katika uwanja wa Shule ya Msingi, Kidomole, Bagamoyo mkoani Pwani.
Picha mbalimbalia za mchezo kati ya Timu ya Kidomole FC na Vikawe FC, ulipigwa jana jioni katika uwanja wa Shule ya Msingi, Kidomole, Bagamoyo mkoani Pwani. Mchezo huo uliokuwa na mvuto wa waina yake, ulikuwa na leongo la kuunganisha undugu baina ya wanakijiji hao. Mchezo huo ulimalizika kwa Timu ya Kidomole kutoka kifua mbele kwa ushindi mwembamba wa bao 1-0.
No comments:
Post a Comment