Thursday, February 16, 2017

YUSSUF MANJI AFIKISHWA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU MCHANA HUU.

 Mfanyabiashara na Mwenyekiti wa Klabu ya soka ya Yanga, Yussuf Manji akifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mchana huu. 
 Katibu mkuu wa Yangu, Boniface Mkwasa akiwa katika Mahakama ya Kisutu.
Makamu mwenyekiti wa klabu ya Yangu akteta na maana sheria Alex mgongolwa.

No comments:

Post a Comment