Kijana Mmoja ambaye hajaweza fahamika
Majina yake, amekutwa akiwa amefariki Dunia kwenye kichochoro maeneo ya Mtaa wa Mwamfupe, Jijini
Mbeya leo asubuhi. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, walieleza kuwa Mapema leo Asubuhi waliukuta Mwili huo katika Eneo hilo, na kueleza kuwa "Mtu huyo si Mkazi wa Eneo hilo
bali Jioni ya jana waliomuona Mazingira hayo akiwa katika hali ya
kupepesuka Pepesuka kotokana na unywaji wa Pombe kwa kiwango kilichopitiliza na huenda hicho ndicho
kilicho pelekea Kifo chake kwani alikuwa si Ngangali katika Afya..."
hivyo ndivyo walivyo sema wana Mtaa wa Mwamfupe walipo kuwa
wakizungumza na Mwandishi wetu.
Baadhi ya Wanachi wa Mtaa wa Mwamfupe wakijadiliana jambo
katika Eneo la Tukio.
Huzuni umetawala Eneo hilo..
Wanachi sambamba na Wenyenyumba zilizo zunguka Eneo hilo la
Tukio wakisubiri msaada kutoka Jeshi la Polisi.
Picha na Fadhiri Atick - Mr.Pengo Mbeya.
No comments:
Post a Comment