HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, December 28, 2015

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa afungua soko la kimataifa la Samaki Mkoani Kigoma leo

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipiga makofi na kufurahia baada ya kuzindua rasmi soko la kisasa la samaki na dagaa katika mwalo wa Kibirizi, Mkoani Kigoma leo.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua dagaa walioanikwa kisasa katika mwalo wa kibirizi baada ya kufungua rasmi soko la kimataifa la Samaki lililopo Kibirizi, Mkoani Kigoma leo.
Mbunge wa Jimbo la Kigoma mjini Zitto kabwe akiongea na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya mwalo wa kibirizi.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiongea na wananchi (hawapo pichani)kwenye viwanja vya mwalo wa kibirizi.
Baadhi ya wananchi wa Manispaa ya Kigoma waliojitokeza kumsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa katika mkutano wake wa hadhara uliofanyika katika mwalo wa kibirizi.Picha na Editha Karlo wa Globu ya Jamii, Kigoma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad