Kijana katika Taswira alinaswa na Kamera Yetu Ya Mtaa Kwa Mtaa akiwa bize Mzigoni kufanya shughuli ya kuzoa Mchanga katika Mfereji wa Maji uliopo Eneo la Ilolo Jijini Mbeya. #Kamerayamtaakwamtaablog.
No comments:
Post a Comment