HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, October 18, 2015

Washindi wa Shindano la 'Genius-Cup' Wazawadiwa

Mwanafunzi Fuad Thabit kutoka Feza Boys Secondary aliyeibuka mshindi wa kwanza shule za sekondari katika Shindano la Genius-Cup akipokea cheti na zawadi yake ya shilingi 300,000 toka kwa  mgeni rasmi wa hafla hiyo, Ofisa Mkuu  wa Utafiti taasisi ya COSTECH, Athman Mgumia.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad